Women Issues
JANUARY 2002 ( MONDAY) N.TEMU
| DATE | 7.1.2002 B | 14.1.2002 | 21.1.2001 | 28.1.2002 |
| WOMEN GROUP | Akina mama wa ush. wa Mlalo D/Kas-Mash. | Mtaalamu wa afya ya jamii na mwl. wa Nursing school KCMC Stella Mwampeta | Mtaalamu wa afya ya jamii na mwl. wa Nursing school KCMC Stella Mwampeta | Mtaalamu wa afya ya jamii na mwl. wa Nursing school KCMC Stella Mwampeta |
| TOPIC | Tatizo la kurithiwa linavyochanigia ukimwi | Ukatili dhidi ya watoto | Ukatili dhidi ya watoto | Ukatili dhidi ya watoto |
FEBRUARY 2002 ( MONDAY) N:TEMU
| DATE | 4.2.2002 | 11.2.2002 | 18.2.2002 | 25.2.2001 |
| WOMEN GROUP | Kikundi cha malezi ya akina mama wa Shinyanga mjini. | Mama kutoka Kolandoto | Mama kutoka Kolandoto | Akina mama wa Bariadi |
| TOPIC | Jinsi mama asizeajiriwa ofisini anavyoweza kujitegemea | Mahojiano jinsi alivyofuga fisi | Alivyobadilika na kumwamini Mungu | mahojiano juu ya imani ya ushirikina. |
MARCH 2002 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | 4.3.2002 | 11.3.2002 | 18.3.2002 | 25.3.2002 |
| WOMEN GROUP | Akina mama wa usharika wa Makumira Dayosisi ya Meru | Akina mama wa usharika wa Makumira Dayosisi ya Meru | Akina mama wa usharika wa Makumira Dayosisi ya Meru | Akina mama wa usharika wa Makumira Dayosisi ya Meru |
| TOPIC | Mwanamke alieelimika ni wa namna gani | Mwanamke alieelimika ni wa namna gani | Mwanamke alieelimika ni wa namna gani | Binti aliyepata mimba akiwa shuleni asaidiweje ili aweze kupata elimu ya kumsaidia. |
APRIL 2002 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | 1.4.2002 | 8.4.2002 | 15.4.2002 | 22.4.2002 | 29.4.2002 |
| WOMEN GROUP | Wajumbe toka usharika wa Usa River Dayosisi ya Meru | Wajumbe toka usharika wa Usa River Dayosisi ya Meru | Wajumbe toka usharika wa Usa River Dayosisi ya Meru | Wajumbe toka usharika wa Usa River Dayosisi ya Meru | Wajumbe toka usharika wa Usa River Dayosisi ya Meru |
| TOPIC | Unyanyaswaji wa jinsia katika wilaya ya Arumeru. | Unyanyaswaji wa jinsia katika wilaya ya Arumeru. | Unyanyaswaji wa jinsia katika wilaya ya Arumeru. | Unyanyaswaji wa jinsia katika wilaya ya Arumeru. | Kifanyike kitu gani kuondoa unyanyasaji wa kijinsia |
MAY 2002 (MONDAY) N:TEMU
| DATE | 6.5.2002 | 13.5.2002 | 20.5.2002 | 27.5.2002 |
| WOMEN GROUP | Kikundi cha walimu kutoka Lushoto | Kikundi cha walimu kutoka Lushoto | Kikundi cha walimu kutoka Lushoto | Kikundi cha walimu kutoka Lushoto |
| TOPIC | Kujadili vitendo vya kikatili na vya unyanyasaji wanavyotendewa watoto | Kujadili vitendo vya kikatili na vya unyanyasaji wanavyotendewa watoto | Kujadili namna ya kutokomeza vitendo vya kikatili na vya unyanyasaji wanavyotendewa watoto | Kujadili namna ya kutokameza vitendo vya kikatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto. |
JUNE 2002 (MONDAY) N:TEMU
| DATE | 3.6.2002 | 10.6.2002 | 17.6.2002 | 24.6.2002 |
| WOMEN GROUP | Kikundi cha walimu kutoka Lushoto | Akina mama wa usharika wa Mongai | Akina mama wa usharika wa Mongai | Akina mama wa usharika wa Mongai |
| TOPIC | Kujadili namna ya kutokameza vitendo vya kikatili na unyanyasaji wanavyofanyiwa watoto. | Kujadili tatizo unyanyasaji wa kijinsia sehemu za Mwika. | Kujadili juu ya maisha duni likiwepo tatizo la usafiri | Kujadili tatizo la akina mama wa Mwika kukosa zana za kisasa za kufanyia shughuli zao. |
JULY 2002 (MONDAYS) N:TEMU
| DATE | 1.7.2002 B | 8.7.2002 B | 15.7.2002 B | 22.7.2002 B | 29.7.2002 B |
| WOMEN GROUP | Bw. Neville Meena wa Morogoro | Waelimishaji wa kikundi cha KIC kutoka Narumu na Shimbwe | Waelimishaji wa kikundi cha KIC kutoka Narumu na Shimbwe | Waelimishaji wa kikundi cha KIC kutoka Narumu na Shimbwe | Waelimishaji wa kikundi cha KIC kutoka Narumu na Shimbwe |
| TOPIC | Mahojiano juu ya hali ya Tohara Mkoani Morogoro | Taarifa za uelimishaji juu za kutokomeza tohara kwa wanawake | Taarifa za uelimishaji juu za kutokomeza tohara kwa wanawake | Taarifa za uelimishaji juu za kutokomeza tohara kwa wanawake | Maswali na majibu yaliyotolewa kwa vikundi wakati wa warsha na tutasikia kikundi no.2 |
AUGUST 2002 (MONDAYS) N:TEMU
| DATE | 5.8.2002 | 12.8.2002 | 19.8.2002 | 26.8.2002 |
| WOMEN GROUP | Bibi Elizabeth Minde | Bibi Elizabeth Minde | Bibi Elizabeth Minde | Bibi Elizabeth Minde |
| TOPIC | Unyanyasaji wa jinsia na haki za binadamu. | Unyanyasaji wa jinsia na haki za binadamu. | Unyanyasaji wa jinsia na haki za binadamu. | Unyanyasaji wa jinsia na haki za binadamu. |
SEPTEMBER 2002 ( MONDAYS) N:TEMU
| DATE | 2.9.2002 | 9.9.2002 | 16.9.2002. | 23.9.2002. | 30.9.2002 |
| WOMEN GROUP | Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Moshi Jaji Eusebia Munuo | Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Moshi Jaji Eusebia Munuo | Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Moshi Jaji Eusebia Munuo | Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Moshi Jaji Eusebia Munuo | Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Moshi Jaji Eusebia Munuo |
| TOPIC | Akizungumza na mahakimu wa mahakama za mwanzo juu ya sheria na mikataba inayomlinda mwananke na mtoto wa kike juu ya ukeketwaji. | Akizungumza na mahakimu wa mahakama za mwanzo juu ya sheria na mikataba inayomlinda mwananke na mtoto wa kike juu ya ukeketwaji. | Akizungumza na mahakimu wa mahakama za mwanzo juu ya sheria na mikataba inayomlinda mwananke na mtoto wa kike juu ya ukeketwaji. | Akizungumza na mahakimu wa mahakama za mwanzo juu ya sheria na mikataba inayomlinda mwananke na mtoto wa kike juu ya ukeketwaji. | Akizungumza na mahakimu wa mahakama za mwanzo juu ya sheria na mikataba inayomlinda mwananke na mtoto wa kike juu ya ukeketwaji. |
OCTOBER 2002 ( MONDAY) N:TEMU
| DATE | 7.10.2002 | 14.10.2002 | 21.10.2002 | 28.10.2002 |
| WOMEN GROUP | Jaji Mfawidhi wa mahakama kuu kanda ya Moshi Jaji Eusebia Munuo | Mwl. Ida Naiso pamoja na Mabinti wawili kutoka kibosho. | MwL. Ida Naiso mhamasishaji na mwelimishaji wa NAFGEM | MwL. Ida Naiso mhamasishaji na mwelimishaji wa NAFGEM |
| TOPIC | Akijibu maswali yaliyojitokeza katika mada ya sheria na mikataba inayomlinda mwanamke na mtoto wa kike kukeketwa. | Wanatoa ushuhuda jinsi walivyokataa kukeketwa na hawajapata matatizo yoyote ingawa waliachiwa radhi na bibi zao. | Akielezea namna kampeni dhidi ya ukeketaji inavyofanywa na NAFGEM | Akielezea namna kampeni dhidi ya ukeketaji inavyofanywa na NAFGEM |
NOVEMBER 2002 ( MONDAY) N:TEMU
| DATE | 4.11.2002 | 11.11.2002 | 18.11.2002 | 25.11.2002 |
| WOMEN GROUP | MwL. Ida Naiso mhamasishaji na mwelimishaji wa NAFGEM | Bibi Macrine Shayo Rumanyika Mwenyekiti wa NAFGEM na mratibu wa jinsia na maarndeleo Jimbo Kuu Katoliki Arusha. | Bibi Macrine Shayo Rumanyika Mwenyekiti wa NAFGEM na mratibu wa jinsia na maarndeleo Jimbo Kuu Katoliki Arusha. | Mkuu wa wilaya ya Same Bw. Timoth Kakome |
| TOPIC | Akielezea namna kampeni dhidi ya ukeketaji inavyofanywa na NAFGEM | Matatizo ya utekelezaji wa sheria ya Ukeketaji | Matatizo ya utekelezaji wa sheria ya Ukeketaji | Akitoa nasaha kwa mahakimu wa mahakama za mwanzo wilayani Same na Mwanga juu ya swala la ukeketaji wa wanawake na mtoto wa kike. |
DECEMBER 2002 ( MONDAYS) N:TEMU
| DATE | 2.12.2002 b | 9.12.2002 b | 16.12.2002. | 23.12.2002. | 30.12.2002 |
| WOMEN GROUP | Mkuu wa wilaya ya Same Bw. Timoth Kakome | Mkuu wa wilaya ya Same Bw. Timoth Kakome | Bi Weraluande Lema msajili wa mahakama Moshi | Bi Weraluande Lema msajili wa mahakama Moshi | Bi Weraluande Lema msajili wa mahakama Moshi |
| TOPIC | Akitoa nasaha kwa mahakimu wa mahakama za mwanzo wilayani Same na Mwanga juu ya swala la ukeketaji wa wanawake na mtoto wa kike. | Akitoa nasaha kwa mahakimu wa mahakama za mwanzo wilayani Same na Mwanga juu ya swala la ukeketaji wa wanawake na mtoto wa kike. | Akizungumza na mahakimu wa mahakama za mwanzo wilayani Same na Mwanga juu ya Nafasi ya sheria katika kutokomeza ukeketaji wa wanawake | Akizungumza na mahakimu wa mahakama za mwanzo wilayani Same na Mwanga juu ya Nafasi ya sheria katika kutokomeza ukeketaji wa wanawake | Akizungumza na mahakimu wa mahakama za mwanzo wilayani Same na Mwanga juu ya Nafasi ya sheria katika kutokomeza ukeketaji wa wanawake |
JANUARY 2003 ( MONDAY) N:TEMU
| DATE | 06.01.2003 b | 13.01.2003 b | 20.01.2003. | 27.01.2003 |
| WOMEN GROUP | Akina mama wa usharika wa Kware | Akina mama wa usharika wa Kware | Akina mama wa usharika wa Kware | Akina mama wa usharika wa Kimbushi |
| TOPIC | Mama ajikwamue vipi na hali ngumu ya uchumi | Mama ajikwamue vipi na hali ngumu ya uchumi | Mama ajikwamue vipi na hali ngumu ya uchumi | Wakihojiwa juu ya miradi ya idara ya kina mama. |
JANUARY 2003 ( MONDAY) N:TEMU
| DATE | 06.01.2003 b | 13.01.2003 b | 20.01.2003. | 27.01.2003 |
| WOMEN GROUP | Akina mama wa usharika wa Kware | Akina mama wa usharika wa Kware | Akina mama wa usharika wa Kware | Akina mama wa usharika wa Kimbushi |
| TOPIC | Mama ajikwamue vipi na hali ngumu ya uchumi | Mama ajikwamue vipi na hali ngumu ya uchumi | Mama ajikwamue vipi na hali ngumu ya uchumi | Wakihojiwa juu ya miradi ya idara ya kina mama. |
FEBRUARY 2003 ( MONDAY) N:TEMU
| DATE | 03.02.2003 | 10.02.2003 | 17.02.2003 | 24.02.2002 |
| WOMEN GROUP | Afisa Elimu wa wilaya ya Hai Bw. Bernad Bernedict Msaki | Afisa Elimu wa wilaya ya Hai Bw. Bernad Bernedict Msaki | Afisa Elimu wa wilaya ya Hai Bw. Bernad Bernedict Msaki | Mratibu na NAFGEM Bibi Basila Urassa |
| TOPIC | Akizungumza na walimu wakuu wa shule za msingi tarafa za Masama na Siha juu za ukeketaji wa wanawake katika semina iliyoandaliwa na NAFGEM | Akizungumza na walimu wakuu wa shule za msingi tarafa za Masama na Siha juu za ukeketaji wa wanawake katika semina iliyoandaliwa na NAFGEM | Akizungumza na walimu wakuu wa shule za msingi tarafa za Masama na Siha juu za ukeketaji wa wanawake katika semina iliyoandaliwa na NAFGEM | Akizungumza na walimu wakuu wa shule za msingi tarafa za Masama na Siha juu za ukeketaji wa wanawake katika semina iliyoandaliwa na NAFGEM |
MARCH 2003 (MONDAY )N.TEMU
| DATE | 03.03.2003 | 10.03.2003 | 17.03.2003 | 24.03.2002 | 31.03.2002 |
| WOMEN GROUP | Basila Urassa Mratibu wa NAFGEM | Grace Maleko Mhamasiishaji na mwelimishaji wa NAFGEM | Kikundi cha akina mama kutoka usharika wa Leguruki D| Meru | Kikundi cha akina mama kutoka usharika wa Leguruki D| Meru | Dorkas Shirima Mwenyekiti wa vijana wa Kamati ya Mila na Desturi (KIAC). |
| TOPIC | Akizungumza na walimu wakuu wa shule za msingi tarafa za Masama na Siha juu za ukeketaji wa wanawake katika semina iliyoandaliwa na NAFGEM | Akizungumza na walimu wakuu wa shule za msingi tarafa za Masama na Siha juu za ukeketaji wa wanawake katika semina iliyoandaliwa na NAFGEM | Wakijadili juu ya mila potofu ya ukeketaji wa wanawake | Wakijadili juu ya mila potofu ya ukeketaji wa wanawake | Mahojiano juu za shughuli za mwenyekiti katika kuwaimarisha vijana kuachana na mila potofu ya ukeketaji. |
APRIL 2003 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | 07.04.2003 | 14.04.2003 | 21.04.2003 | 28.04.2002 |
| WOMEN GROUP | KIKUNDI KUTOKA RUVU MUUNGANO DAYOSISI YA PARE | KIKUNDI KUTOKA RUVU MUUNGANO DAYOSISI YA PARE | KIKUNDI KUTOKA RUVU MUUNGANO DAYOSISI YA PARE | KIKUNDI KUTOKA RUVU MUUNGANO DAYOSISI YA PARE |
May 2003 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | 05.05.2003 | 12.05.2003 | 19.05.2003 | 26.05.2002 |
| WOMEN GROUP | Akina mama wa usharika wa Ntue Meru | Akina mama wa usharika wa Ntue Meru | Akina mama wa usharika wa Ntue Meru | Kikundi kutoka ush. wa Kisangara D/ Pare |
| TOPIC | wafanye biashara gani ili kujikimu na hali ngumu ya maisha | wafanye biashara gani ili kujikimu na hali ngumu ya maisha | wafanye biashara gani ili kujikimu na hali ngumu ya maisha | Mama mkristo ni nani |
JUNE 2003 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | 02.06.2003 | 9.06.2003 | 16.06.2003 | 23.06.2002 | 30.06.2002 |
| WOMEN GROUP | Kikundi cha akina mama na baba kutoka ush. Kisangara Pare | Kikundi cha akina mama na baba kutoka ush. Kisangara Pare | Kikundi cha akina mama na baba kutoka ush. Kisangara Pare | Kikundi cha akina mama na baba kutoka ush. Kisangara Pare | Kikundi cha akina mama na baba kutoka ush. Kisangara Pare |
| TOPIC | Mama Mkristo na familia yake | Mama Mkristo na familia yake | Mama Mkristo na kanisa lake. | Mama Mkristo akiwa ofisini | Mama Mkristo akiwa mitaani/mijini na tofauti zake |
FEBRUARY 2005(MONDAYS) N.TEMU
| DATE | 07.02.2005 | 14.02.2005 | 21.02.2005 | 28.02.2005 |
| WOMEN GROUP | AKINA MAMA WA USHARIKA WA ELERAI D/MKOANI ARUSHA | AKINA MAMA WA USHARIKA WA ELERAI D/MKOANI ARUSHA | AKINA MAMA WA USHARIKA WA ELERAI D/MKOANI ARUSHA | AKINA MAMA WA USHARIKA WA ELERAI D/MKOANI ARUSHA |
| TOPIC | Mmomonyoko wa maadili wa maadili kwa vijana | Mmomonyoko wa maadili wa maadili kwa vijana | Mmomonyoko wa maadili wa maadili kwa vijana | Mathara ya ulevi kwa akina baba |
MARCH 2005(MONDAYS) N.TEMU
| DATE | 07.03.2005 | 14.03.2005 | 21.03.2005 | 28.03.2005 |
| WOMEN GROUP | AKINA MAMA WA USHARIKA WA ELERAI D/MKOANI ARUSHA | AKINA MAMA WA USHARIKA WA ELERAI D/MKOANI ARUSHA | AKINA MAMA WA USHARIKA WA ELERAI D/MKOANI ARUSHA | AKINA MAMA WA USHARIKA WA ELERAI D/MKOANI ARUSHA |
| TOPIC | Mathara ya ulevi kwa akina wanawake | Mathara ya pombe haramu ya gongo kwa wanawake | Mathara ya upikaji pombe haramu ya gongo kwa wanawake | Matatizo ya ajira kwa vijana wetu |
APRIL 2005(MONDAY) N.TEMU
| DATE | 04.04.2004 | 11.04.2005 | 18.04.2005 | 25.04.2005 |
| GROUP | Wenyeviti na maafisa watendaji wa vijiji vya jamii ya wamasai wilaya Hai | Afisa mtendaji wa Kijiji cha Tindigani wilayani Hai | Mkuu wa wilaya ya Hai Bw. Alyoce Komba | Mkuu wa wilaya ya Hai Bw. Alyoce Komba |
| TOPIC | Wakitoa Tarifa jinsi walivyofanya kazi ya kuelimisha jamii zao baada uzinduzi wa kampeni ya kuipga vita ukeketaji | Taarifa na mbinu alizotumia katika kuelimisha watu wa Tindigani. | Nasaha baada ya kusikiliza taarifa za Wenyeviti na watendaji wa vijiji vya jamii ya wamasai wilayani Hai | Nasaha baaada ya kusikiliza taarifa za Wenyeviti na watendaji wa vijiji vya jamii ya wamasai wilayani Hai |
MAY 2005 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | 02.05.2005 | 09.05.2005 | 16.05.2005 | 23.05.2005 | 30.05.2005 |
| GROUP | Wanafunzi wa Chuo cha Theologia Mwika | Wanafunzi wa Chuo cha Theologia Mwika | Wanafunzi wa Chuo cha Theologia Mwika | Wanafunzi wa Chuo cha Theologia Mwika | Wanafunzi wa Chuo cha Theologia Mwika |
| TOPIC | Mgawanyo wa kazi | Mgawanyo wa kazi | Mgawanyo wa kazi | Mgawanyo wa kazi | Mgawanyo wa kazi |
June 2005 (MONDAY) N. TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 06.06.05 | Akina Mama wa usharika waLikamba mtaa wa Oltrumet | Kiini cha Vurugu katika nyumba za Kikristo |
| 13.06.05 | Akina Mama wa usharika waLikamba mtaa wa Oltrumet | Kiini cha Vurugu katika nyumba za Kikristo |
| 20.06.05 | Akina Mama wa usharika waLikamba mtaa wa Oltrumet | Kiini cha Vurugu katika nyumba za Kikristo |
| 2706.05 | Akina Mama wa usharika waLikamba mtaa wa Oltrumet | Kiini cha Vurugu katika nyumba za Kikristo |
July 2005 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 04.07.05 | Akina mama wa Usharika wa Likamba Mtaa wa Oltrumet Dayosisi Mkoani Arusha. | Kiini cha vurugu katika nyumba za Kikristo, kipengele cha wokovu kinavyochangia. |
| 11.07.05 | Akina mama wa Usharika wa Likamba Mtaa wa Oltrumet Dayosisi Mkoani Arusha. | Kiini cha vurugu katika nyumba za Kikristo, kipengele cha wokovu kinavyochangia. |
| 18.07.05 | Akina mama wa Usharika wa Likamba Mtaa wa Oltrumet Dayosisi Mkoani Arusha. | Kiini cha vurugu katika nyumba za Kikristo, kipengele cha wokovu na umaskini unavyochangia. |
| 25.07.05 | Akina mama wa Usharika wa Likamba Mtaa wa Oltrumet Dayosisi Mkoani Arusha. | Kiini cha vurugu katika nyumba za Kikristo, umaskini unavyochangia. |
AUGUST 2005 (MONDAYS) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPI |
| 01.08.2005 | AKINA MAMA WA USHARIKA WA BUNGO DAYOSISI YA MOROGORO | KWA NINI NDOA NYINGI ZINAVUNJIKA |
| 08.08.2005 | AKINA MAMA WA USHARIKA WA BUNGO DAYOSISI YA MOROGORO | KWA NINI NDOA NYINGI ZINAVUNJIKA |
| 15.08.2005 | AKINA MAMA WA USHARIKA WA BUNGO DAYOSISI YA MOROGORO | KWA NINI NDOA NYINGI ZINAVUNJIKA |
| 22.08.2005 | AKINA MAMA WA USHARIKA WA BUNGO DAYOSISI YA MOROGORO | KWA NINI NDOA NYINGI ZINAVUNJIKA |
| 29.08.2005 | AKINA MAMA WA USHARIKA WA BUNGO DAYOSISI YA MOROGORO | KWA NINI NDOA NYINGI ZINAVUNJIKA |
SEPTEMBER 2005 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPI |
| 05.09.2005 | AKINA MAMA WA USHARIKA WA BUNGO DAYOSISI YA MOROGORO | KWA NINI NDOA NYINGI ZINAVUNJIKA |
| 12.09.2005 | AKINA MAMA WA USHARIKA WA BUNGO DAYOSISI YA MOROGORO | KWA NINI NDOA NYINGI ZINAVUNJIKA |
| 19.09.2005 | AKINA MAMA WA USHARIKA WA MWENGE JIMBO LA KINONDONI D/MASH.NA PWANI | NINI CHANZO CHA KUKOASEKANA UAMINIFU KATI YA MUME NA MKE KATKA JIJI LA DSM; |
| 26.09.2005 | AKINA MAMA WA USHARIKA WAUSHARIKA WA MWENGE JIMBO LA KINONDONI D/MASH. NA PWANI | NINI CHANZO CHA KUKOASEKANA UAMINIFU KATI YA MUME NA MKE KATKA JIJI LA DSM; |
OCTOBER 2005 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 03.10.05 | Akina Mama wa usharika wa Mwenge Jimbo la Kinondoni Dayosisi ya Mashariki na Pwani | Chanzo cha kukosekana uaminifu katika ndoa Jijini Dar. |
| 10.10.05 | Akina Mama wa usharika wa Mwenge Jimbo la Kinondoni Dayosisi ya Mashariki na Pwani | Chanzo cha kukosekana uaminifu katika ndoa Jijini Dar. |
| 17.10.05 | Akina Mama wa usharika wa Mwenge Jimbo la Kinondoni Dayosisi ya Mashariki na Pwani | Chanzo cha kukosekana uaminifu katika ndoa Jijini Dar. |
| 24.10.05 | Akina Mama wa usharika wa Mwenge Jimbo la Kinondoni Dayosisi ya Mashariki na Pwani | Chanzo cha kukosekana uaminifu katika ndoa Jijini Dar. |
| 31.10.05 | Akina Mama wa usharika wa Mwenge Jimbo la Kinondoni Dayosisi ya Mashariki na Pwani | Suluhisho la tatizo la kukosekana uaminifu katika ndoa Jijini Dar |
NOVEMBER 2005 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 07.11.05 | Akina Mama wa usharika wa Mwenge Jimbo la Kinondoni Dayosisi ya Mashariki na Pwani | Suluhisho la tatizo la kukosekana uaminifu katika ndoa Jijini Dar. |
| 14.11.05 | Akina Mama wa usharika wa Mwenge Jimbo la Kinondoni Dayosisi ya Mashariki na Pwani | Suluhisho la tatizo la kukosekana uaminifu katika ndoa Jijini Dar. |
| 21.11.05 | Kikundi cha akina Mama wajane wa usharika wa Magomeni Mviringo Jimbo la Kinondoni Dayosisi ya Mashariki na Pwani | Matatizo yanayomkabili mama mjane anapofiwa na mumewe |
| 28.11.05 | Kikundi cha akina Mama wajane wa usharika wa Magomeni Mviringo Jimbo la Kinondoni Dayosisi ya Mashariki na Pwani | Haki za msingi anazokosa mama majane mara anapofiwa na mumewe. |
DECEMBER 2005 (MONDAY) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 05.12.05 | KIKUNDI CHA FARAJA CHA WAMAMA WAJANE KATIKA USHARIKA WA MAGOMENI MVIRINGO JIMBO LA KINONDONI DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI: | KITU GANI KILIWASUKUMA WAKAAMUA KUANZISHA KIKUNDI HICHO: |
| 12.12.05 | KIKUNDI CHA FARAJA CHA WAMAMA WAJANE KATIKA USHARIKA WA MAGOMENI MVIRINGO JIMBO LA KINONDONI DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI: | WANAANGALIA MAFANIKIO YA KIKUNDI TANGU KILIPOANZISHWA MWAKA JANA: |
| 19.12.05 | KIKUNDI CHA FARAJA CHA WAMAMA WAJANE KATIKA USHARIKA WA MAGOMENI MVIRINGO JIMBO LA KINONDONI DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI: | WITO KWA AKINA MAMA WAJANE KUJIUNGA NA KIKUNDI HIKI AU KIKUNDI KINGINE CHA NAMNA HIYO: |
| 26.12.05 | MTAYARISHAJI WA KIPINDI | SHUKRANI KWA WOTE WALIOSHIRIKI KATIKA KUFANIKISHA KIPINDI HIKI KWA MWAKA MZIMA |
JANUARY 2006 (MONDAYS) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 03.01.2006 | AKINA MAMA WA MJINI SINGIDA | NINI CHANZO CHA KUKOASEKANA UAMINIFU KATIKA NDOA KATIKA MJI WA SINGIDA |
| 10.01.2006 | AKINA MAMA WA MJINI SINGIDA | NINI CHANZO CHA KUKOASEKANA UAMINIFU KATIKA NDOA KATIKA MJI WA SINGIDA |
| 17.01.2006 | AKINA MAMA WA MJINI SINGIDA | NINI CHANZO CHA KUKOASEKANA UAMINIFU KATIKA MJI WA SINGIDA |
| 24.012006 | AKINA MAMA WA MJINI SINGIDA | NINI CHANZO CHA KUKOASEKANA UAMINIFU KATIKA NDOA KATIKA MJI WA SINGIDA |
| 31.01.2006 | AKINA MAMA WA MJINI SINGIDA | NINI CHANZO CHA KUKOASEKANA UAMINIFU KATIKA NDOA KATIKA MJI WA SINGIDA |
FEBRUARY 2006 (MONDAYS) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 06.02.06 | Akina Mama Singida mjini | Suluhisho la tatizo la kukosekana uaminifu katika ndoa mjini Singida |
| 13.02.06 | Akina Mama wa Singida mjini | Suluhisho la tatizo la kukosekana uaminifu katika ndoa mjini Singida. |
| 20.02.06 | Akina Mama wa Singida mjini | Suluhisho la tatizo la kukosekana uaminifu katika ndoa mjini Singida. |
| 27.02.06 | Mtunza hazina wa usharika wa Mnadani Dayosisi ya Dodoma, Bibi Violet Mushi | Kwa nini akina mama hawashiki nafasi za juu katika uongozi. |
MARCH 2006 (MONDAYS) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 06.03.06 | MTUNZA HAZINA WA USHARIKA WA MNADANI DODOMA | Kuwasaidia akina mama katika ngazi za juu |
| 13.03.02 | Akina Mama wa usharika wa Elerai Dayosisi Mkoani Arusha | Kumomonyoka kwa maadili kwa vijana mkoa wa Arusha |
| 20.03.06 | Akina Mama wa usharika wa Elerai Dayosisi Mkoani Arusha | Kumomonyoka kwa maadili kwa vijana mkoa wa Arusha |
| 27.03.06 | Akina Mama wa usharika wa Elerai Dayosisi Mkoani Arusha | Kumomonyoka kwa maadili kwa vijana mkoa wa Arusha |
APRIL 2006 (MONDAYS) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 03.04.06 | Viongozi wa serikali za vijiji na koo tisa za Narumu wilayani Hai | Ni kwanini ukeketaji unandelea sehemu za Narumu pamoja na mashirika mbalimbali kutoa elimu juu ya athari za ukeketaji |
| 10.04.02 | Viongozi wa serikali za vijiji na koo tisa za Narumu wilayani Hai | Ni kwanini ukeketaji unandelea sehemu za Narumu pamoja na mashirika mbalimbali kutoa elimu juu ya athari za ukeketaji |
| 17.04.06 | Viongozi wa serikali za vijiji na koo tisa za Narumu wilayani Hai | Ni kwanini ukeketaji unandelea sehemu za Narumu pamoja na mashirika mbalimbali kutoa elimu juu ya athari za ukeketaji |
| 24.04.06 | Viongozi wa serikali za vijiji na koo tisa za Narumu wilayani Hai | Ni kwanini ukeketaji unandelea sehemu za Narumu pamoja na mashirika mbalimbali kutoa elimu juu ya athari za ukeketaji |
MAY 2006 (MONDAYS) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 01.05.06 | Mtandao wa kupiga vita ukeketaji kitaifa | Kwa nini tunazugumzia haki za binadamu na ukeketaji unavyokiuka haki hizo. |
| 08.05.06 | Mtandao wa kupiga vita ukeketaji kitaifa | Aina za ukeketaji |
| 15.05.06 | Mtandao wa kupiga vita ukeketaji kitaifa | Madhara ya ukeketaji wakati tendo linafanyika, baada ya muda mrefu na madhara na maisha na kijamii |
| 22.05.06 | Mtandao wa kupiga vita ukeketaji kitaifa | Sababu za kufanya ukeketaji hususan kwa wale wanaoendeleza na sababu za kupiga vita ukeketaji |
| 29.05.06 | Mtandao wa kupiga vita ukeketaji kitaifa | Sheria ya ukeketaji inavyotekelezwa katika nchi yetu |
JUNE 2006 (MONDAYS) N.TEMU
| DATE | GROUP | TOPIC |
| 05.06.06 | MCH: ARON URIO WA DAYOSISI YA KASKAZINI: | TATIZO LA MALEZI YA VIJANA NA WATOTO |
| 12.06.06 | MCH: ARON URIO WA DAYOSISI YA KASKAZINI: | TATIZO LA MALEZI YA VIJANA NA WATOTO |
| 19.06.06 | MCH: ARON URIO WA DAYOSISI YA KASKAZINI: | |
| 26.06.06 | MCH: ARON URIO WA DAYOSISI YA KASKAZINI: | NINI CHA KUFANYA KUTATUA TATIZO LA MALEZI YA VIJANA NA WATOTO |