PROCLAIMING JESUS CHRIST INTO HIS WORLD


MKUTANO MKUU WA 35 wa DAYOSISI YA KASKAZIN 25-28 AGOSTI 2018

" BWANA Nimependa makao ya nyumba yako ZABURI 26:8a''

Mkuu wa Dayosisi na watumishi wengine katika maandalizi ya ibada ya ufunguzi

Mkuu wa Dayosisi na watumishi wengine katika maandalizi ya ibada ya ufunguzi

Live Studio ya muda Masoka

Mtangazaji wa zamu akiwa kazini

Baba askofu Dr Shoo

Katika picha Baba Askofu Dr.Fredrick Shoo Mkuu wa Kanisa na Mkuu wa Dayosisi mwenye joho nyekundu wakati wa Ibada ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu

wajumbe wa mkutano mkuu

Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa 35 wakifuatilia kwa makini hutuba ya Mkuu wa Dayosisi

picha ya pamoja

Wajumbe wa Mkutano mkuu wa 35 katika picha ya pamoja

Mkuu wa Dayosisi ya kaskazini Askofu Dr. Fredrick Shoo alifungua rasmi mkutano na mwisho aliwakaribisha wageni kutoa salamu

Salamu baba askofu Shoo